LYRICS: Boaz Danken – Haufananishwi Na Kitu Kingine
|
Boaz Danken Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics
Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics. Learn the Lyrics to the music vibe Haufananishwi Na Kitu Kingine by Boaz Danken.
“Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics”
Wewe ni Mungu mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Wewe ni Mungu mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
rudia toka juu
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi toa
rudia
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Katikati ya gadhabu
Unakumbuka rehema
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Rudia
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
